Swali: Mtu huyu aliyetubia kutokamana na dishi alikuwa ni mwenye kuhitaji pesa. Je, anaweza kumuuzia mnaswara?
Jibu: Mimi nanyamaza juu ya hili. Mtu kuuza bidhaa za haramu kwa makafiri inafaa? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliharamisha kuuza pombe. Tokea wakati huo ikawa ni haramu kuwauzia waislamu na wasiokuwa waislamu. Kadhalika wakati ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) alipoandikiwa barua kwamba waabudu moto au manaswara wanataka kuwapa waislamu kitu katika pombe, ´Umar akawakataza na akawaambia wasipokee. Waacheni wao wauziane wao kwa wao na chukueni katika thamani yake. Kwa hali yoyote mimi nanyamaza juu ya jambo hili. Namwambia: mtegemee Allaah, ivunje na nakubashiria kheri yenye kuja haraka.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (35) http://binothaimeen.net/content/788
- Imechapishwa: 20/01/2018
Swali: Mtu huyu aliyetubia kutokamana na dishi alikuwa ni mwenye kuhitaji pesa. Je, anaweza kumuuzia mnaswara?
Jibu: Mimi nanyamaza juu ya hili. Mtu kuuza bidhaa za haramu kwa makafiri inafaa? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliharamisha kuuza pombe. Tokea wakati huo ikawa ni haramu kuwauzia waislamu na wasiokuwa waislamu. Kadhalika wakati ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) alipoandikiwa barua kwamba waabudu moto au manaswara wanataka kuwapa waislamu kitu katika pombe, ´Umar akawakataza na akawaambia wasipokee. Waacheni wao wauziane wao kwa wao na chukueni katika thamani yake. Kwa hali yoyote mimi nanyamaza juu ya jambo hili. Namwambia: mtegemee Allaah, ivunje na nakubashiria kheri yenye kuja haraka.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (35) http://binothaimeen.net/content/788
Imechapishwa: 20/01/2018
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumuuzia-kafiri-kitu-cha-haramu-kama-tv-au-dishi/