Swali: Mnyama mwenye tupu mbili anazingatiwa ni mwenye kasoro miongoni mwa kasoro za Udhhiyah?
Jibu: Je, katika wanyama wako ambao wana tupu mbili? Mimi sijui lakini hata hivyo nakujibu. Inafaa kumchinja ni mamoja awe dike, dume au mwenye tupu mbili. Wote hawa wanafaa kuchinjwa.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (174)
- Imechapishwa: 19/07/2020
Swali: Mnyama mwenye tupu mbili anazingatiwa ni mwenye kasoro miongoni mwa kasoro za Udhhiyah?
Jibu: Je, katika wanyama wako ambao wana tupu mbili? Mimi sijui lakini hata hivyo nakujibu. Inafaa kumchinja ni mamoja awe dike, dume au mwenye tupu mbili. Wote hawa wanafaa kuchinjwa.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (174)
Imechapishwa: 19/07/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumchinja-khunthaa-katika-iyd-ul-adhwaa/