Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka bomba la maji au kujenga msikiti makaburini kwa wale ambao hawakumswalia maiti?
Jibu: Ni sawa kuweka bomba la maji makaburini au pembezoni mwake.
Kuhusu kujenga msikiti makaburini haijuzu. Hata hivyo ni sawa kutenga mahali pa kuswalia (صلى) karibu na bomba hilo kwa njia ya kwamba ni pahala pa kuswalia swalah ya jeneza tu na hakuswaliwi zile swalah tano. Kitendo kama hichi hakina neno60.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/144)
- Imechapishwa: 15/09/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka bomba la maji au kujenga msikiti makaburini kwa wale ambao hawakumswalia maiti?
Jibu: Ni sawa kuweka bomba la maji makaburini au pembezoni mwake.
Kuhusu kujenga msikiti makaburini haijuzu. Hata hivyo ni sawa kutenga mahali pa kuswalia (صلى) karibu na bomba hilo kwa njia ya kwamba ni pahala pa kuswalia swalah ya jeneza tu na hakuswaliwi zile swalah tano. Kitendo kama hichi hakina neno60.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/144)
Imechapishwa: 15/09/2021
https://firqatunnajia.com/inafaa-kujenga-msikiti-makaburini-kwa-ajili-ya-wenye-kumswalia-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)