Swali: ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesimulia:
”Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekufa na nguo yake ya ngao ya vita imewekwa rehani kwa myahudi.”
Jibu: Inaonyesha kufaa kufanya biashara na washirikina ambapo mtu akanunua kutoka kwao na akawauzia. Hapana vibaya kufanya hivo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alinunua kutoka kwa mayahudi na akaweka kwao nguo yake ya ngao ya vita.
Swali: Vipi wasiokuwa mayahudi?
Jibu: Ni mamoja mayahudi, manaswara na wengineo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22223/ما-هدي-النبي-ﷺ-في-معاملة-المشركين
- Imechapishwa: 17/12/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)