Swali: Imesihi kwamba wakati fulani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikojoa hali ya kusimama?
Jibu: Ndio. Imesihi kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya hivo wakati fulani. Kwa mfano ikiwa sehemu fulani si sawa kukaa kwa sababu kuna maji au matope, basi katika hali hii hakuna neno. Alifanya hivo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).ad
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 18/09/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket