Swali: Imesihi kwamba wakati fulani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikojoa hali ya kusimama?
Jibu: Ndio. Imesihi kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya hivo wakati fulani. Kwa mfano ikiwa sehemu fulani si sawa kukaa kwa sababu kuna maji au matope, basi katika hali hii hakuna neno. Alifanya hivo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).ad
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
- Imechapishwa: 18/09/2018
Swali: Imesihi kwamba wakati fulani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikojoa hali ya kusimama?
Jibu: Ndio. Imesihi kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alifanya hivo wakati fulani. Kwa mfano ikiwa sehemu fulani si sawa kukaa kwa sababu kuna maji au matope, basi katika hali hii hakuna neno. Alifanya hivo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).ad
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (88) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahssat.mp3
Imechapishwa: 18/09/2018
https://firqatunnajia.com/imesihi-kwamba-mtume-alikojoa-kwa-kusimama/