Swali: Imani kwa mujibu wa Murji-ah inashuka?
Jibu: Imani kwa mujibu wao ni maneno na kusadikisha peke yake. Kwa mtazamo wao hakuna kitu kinachoitwa matendo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23468/معنى-الايمان-عند-المرجىة
- Imechapishwa: 26/01/2024
Swali: Imani kwa mujibu wa Murji-ah inashuka?
Jibu: Imani kwa mujibu wao ni maneno na kusadikisha peke yake. Kwa mtazamo wao hakuna kitu kinachoitwa matendo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23468/معنى-الايمان-عند-المرجىة
Imechapishwa: 26/01/2024
https://firqatunnajia.com/imani-kwa-mujibu-wa-murji-ah/