Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kusema ya kwamba dini iko kwenye moyo na sio kwenye ndevu na ndevu ni decor tu?
Jibu: Decor? Anafanyia mzaha Sunnah. Lau angelikuwa na dini kwenye moyo asingelinyoa ndevu zake. Kunyoa ndevu ni dalili inayoonesha kuwa dini na imani yake ni pungufu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/04/2015
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kusema ya kwamba dini iko kwenye moyo na sio kwenye ndevu na ndevu ni decor tu?
Jibu: Decor? Anafanyia mzaha Sunnah. Lau angelikuwa na dini kwenye moyo asingelinyoa ndevu zake. Kunyoa ndevu ni dalili inayoonesha kuwa dini na imani yake ni pungufu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/nawaqid-18-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/04/2015
https://firqatunnajia.com/imani-iko-moyoni-sio-kwenye-ndevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket