Swali: Je, waswaliji wanatakiwa kumzindua imamu pindi anaposoma kwa sauti katika swalah za kusoma kimyakimya au kinyume chake?
Jibu: Ndio. Akiendelea kusoma namna hiyo, wanatakiwa kumzindua.
Swali: Je, analazimika kuleta sujuud ya kusahau kwa ajili ya jambo hilo?
Jibu: Inapendeza. Halazimiki kufanya hivo, lakini inapendeza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 21/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket