Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya imamu ambaye ana kigugumizi? Matokeo yake ni kwamba anabadili baadhi ya herufi za Qur-aan na maneno yanatoka yakiwa si sahihi. Kwa mfano “as-Swiraatw” anasema “as-Swiraat” na “al-Mustaqiym” anasema “al-Muthtaqiym”?
Jibu: Naona kuwa imamu huyu si halali kwake kuwaongoza watu. Kwa sababu mabadilisho haya yanabadilisha maana. Ang´olewe kuwa imamu na badala yake awekwe mtu mwingine aliyesamilika.
Lakini tukikadiria kuwa mtu amejiunga naye ilihali hajui kisha akakamilisha swalah, na huyu aliyejiunga naye anasoma al-Faatihah kivyake kisomo ambacho ni cha sawa, hawajibiki kuirudi swalah yake.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/951
- Imechapishwa: 12/12/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya imamu ambaye ana kigugumizi? Matokeo yake ni kwamba anabadili baadhi ya herufi za Qur-aan na maneno yanatoka yakiwa si sahihi. Kwa mfano “as-Swiraatw” anasema “as-Swiraat” na “al-Mustaqiym” anasema “al-Muthtaqiym”?
Jibu: Naona kuwa imamu huyu si halali kwake kuwaongoza watu. Kwa sababu mabadilisho haya yanabadilisha maana. Ang´olewe kuwa imamu na badala yake awekwe mtu mwingine aliyesamilika.
Lakini tukikadiria kuwa mtu amejiunga naye ilihali hajui kisha akakamilisha swalah, na huyu aliyejiunga naye anasoma al-Faatihah kivyake kisomo ambacho ni cha sawa, hawajibiki kuirudi swalah yake.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (42) http://binothaimeen.net/content/951
Imechapishwa: 12/12/2018
https://firqatunnajia.com/imamu-ana-kigugumizi-kinachoiharibu-al-faatihah/