Swali: Swalah ya imamu inasihi ikiwa atasoma Qur-aan kwa sauti ya kimya kimya?
Jibu: Ndio. Swalah inasihi. Kwa sababu kusoma kwa sauti imependekezwa na sio wajibu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
- Imechapishwa: 01/10/2017
Swali: Swalah ya imamu inasihi ikiwa atasoma Qur-aan kwa sauti ya kimya kimya?
Jibu: Ndio. Swalah inasihi. Kwa sababu kusoma kwa sauti imependekezwa na sio wajibu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
Imechapishwa: 01/10/2017
https://firqatunnajia.com/imamu-amesoma-kwa-sauti-ya-kimya-kimya-katika-swalah-ya-ijumaa/