Swali: Imamu wetu amesahau kuleta Sujuud katika Rak´ah ya nne. Baada ya Tasliym mkusanyiko ukamkumbusha ambapo akasujudu moja kwa moja na wala hakukaa kati ya Sujuud mbili. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ameshakaa tayari. Wanamwambia wakati ameshakaa chini. Anatakiwa kuleta Sujuud ya pili, kisha Tasliym na halafu Sujuud ya kusahau.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Imamu wetu amesahau kuleta Sujuud katika Rak´ah ya nne. Baada ya Tasliym mkusanyiko ukamkumbusha ambapo akasujudu moja kwa moja na wala hakukaa kati ya Sujuud mbili. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ameshakaa tayari. Wanamwambia wakati ameshakaa chini. Anatakiwa kuleta Sujuud ya pili, kisha Tasliym na halafu Sujuud ya kusahau.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/imamu-amesahau-kusujudu-sujuud-ya-pili-katika-rakah-ya-mwisho/