Swali: Je, inajuzu kwa mwenye hedhi kusoma Qur-aan na Adhkaar?
Jibu: Kuhusu kusoma Qur-aan haijuzu kwa mwenye hedhi mpaka baada ya kutwahirika na kuoga. Ama Adhkaar ni sawa akasoma Takbiyr, Tahliyl, Dhikr, Istighfaar na du´aa. Yote haya yanajuzu ni mamoja kwa mwenye hedhi na wengine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqu-%2020-08-1435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket