Swali: Je, inajuzu kwa raia, au baadhi yao, kufanya mgomo wa njaa mbele ya sehemu za watawala na watawala kwa kutaraji kuwatimizia baadhi ya mahitajio yao?
Jibu: Mgomo wa njaa?
Muulizaji: Ndio, mgomo wa njaa kama maandamano na wanasimaa mbele ya sehemu ili…
al-Albaaniy: Hapana, hii ni ada geni na ya kikafiri. Haijuzu kwa waislamu kuitumia kama njia ya kuonyesha kutoridhia kwao baadhi ya mambo yanayotoka serikalini.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.ibnbaz.se/Artiklarna/101-200/040.html
- Imechapishwa: 05/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket