Swali: Ikiwa watu wote wa kijijini kwangu ni Suufiyyah na msikiti una mambo ya ki-Suufiy. Je, inafaa kwangu kuacha swalah ya mkusanyiko pamoja na watu hawa?
Jibu: Ndio. Fanyeni sehemu ya kuswalia ya kwenu au mwende katika msikiti mwingine usiyokuwa na mambo na utawala wa ki-Suufiy.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
- Imechapishwa: 10/05/2019
Swali: Ikiwa watu wote wa kijijini kwangu ni Suufiyyah na msikiti una mambo ya ki-Suufiy. Je, inafaa kwangu kuacha swalah ya mkusanyiko pamoja na watu hawa?
Jibu: Ndio. Fanyeni sehemu ya kuswalia ya kwenu au mwende katika msikiti mwingine usiyokuwa na mambo na utawala wa ki-Suufiy.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
Imechapishwa: 10/05/2019
https://firqatunnajia.com/iepuke-misikiti-ya-suufiyyah/