Swali: Ikiwa watu wote wa kijijini kwangu ni Suufiyyah na msikiti una mambo ya ki-Suufiy. Je, inafaa kwangu kuacha swalah ya mkusanyiko pamoja na watu hawa?
Jibu: Ndio. Fanyeni sehemu ya kuswalia ya kwenu au mwende katika msikiti mwingine usiyokuwa na mambo na utawala wa ki-Suufiy.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
- Imechapishwa: 10/05/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)