Swali: Vipi mtu kufunga deni lake pamoja na kufunga swawm ya sunnah kwa nia moja. Kwa mfano kufunga siku ya ´Arafah pamoja na kulipa deni la Ramadhaan kwa nia moja?
Jibu: Ikiwa unachokusudia ni kufunga siku ya ´Arafah pamoja na kulipa deni lako, kufunga ´Aashuuraa´ pamoja na kulipa deni lako kwa maana ya kwamba ile siku ya kulipa deni lako ukaifunga siku ya ´Arafah au katika siku ya ´Aashuuraa´, hakuna neno kwako kufanya hivo na unapata thawabu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (20/49)
- Imechapishwa: 13/08/2018
Swali: Vipi mtu kufunga deni lake pamoja na kufunga swawm ya sunnah kwa nia moja. Kwa mfano kufunga siku ya ´Arafah pamoja na kulipa deni la Ramadhaan kwa nia moja?
Jibu: Ikiwa unachokusudia ni kufunga siku ya ´Arafah pamoja na kulipa deni lako, kufunga ´Aashuuraa´ pamoja na kulipa deni lako kwa maana ya kwamba ile siku ya kulipa deni lako ukaifunga siku ya ´Arafah au katika siku ya ´Aashuuraa´, hakuna neno kwako kufanya hivo na unapata thawabu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (20/49)
Imechapishwa: 13/08/2018
https://firqatunnajia.com/ibn-uthaymiyn-kuhusu-funga-mbili-kwa-nia-moja/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)