Swali: Je, imethibiti kuwa Shayk-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) alikuwa akitekeleza adhabu za kidini bila ya kurejea kwa watawala?
Jibu: Huu ni uwongo. Shayk-ul-Islaam Ibn Taymiyyah alikuwa ni miongoni mwa watu bora kabisa katika kuifanyia kazi Shari´ah. Hakuwa akitekeleza adhabu; mtawala wa waislamu pekee ndiye ambaye alikuwa akizitekeleza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
- Imechapishwa: 19/07/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket