Swali: Dhahabu zinazotumiwa kwa ajili ya kujipamba na mfano wake ni wajibu kuzitolea Zakaah?
Jibu: Kauli sahihi ni kwamba zinatolewa Zakaah. Kuna tofauti kwa wanachuoni. Baadhi ya wanachuoni wanaonelea kuwa zinazotumiwa hazitolewi Zakaah. Lakini hata hivyo kauli sahihi ni kwamba zinatolewa Zakaah kutokana na ujumla wa dalili.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14490
- Imechapishwa: 23/11/2014
Swali: Dhahabu zinazotumiwa kwa ajili ya kujipamba na mfano wake ni wajibu kuzitolea Zakaah?
Jibu: Kauli sahihi ni kwamba zinatolewa Zakaah. Kuna tofauti kwa wanachuoni. Baadhi ya wanachuoni wanaonelea kuwa zinazotumiwa hazitolewi Zakaah. Lakini hata hivyo kauli sahihi ni kwamba zinatolewa Zakaah kutokana na ujumla wa dalili.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14490
Imechapishwa: 23/11/2014
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-zakaah-juu-dhahabu-za-kujipamba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)