Swali: Ni yepi maoni yako kwa yule ambaye ametofautisha kati ya Tasliym mbili na akasema kwamba Tasliym ya kwanza ndio nguzo na Tasliym ya pili ni sunnah?
Jibu: Ni wajibu kuileta. Wanachuoni wengi wanaona kuwa nguzo ni ile Tasliym ya kwanza. Lakini maoni yenye nguvu ni yale yaliyosema mwandishi kwamba Tasliym zote mbili. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akitoa Tasliym mbili. Isitoshe amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 25
- Imechapishwa: 24/07/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)