Swali: Vipi watu kufunga swawm ya kujitolea kwa kukubaliana?
Jibu: Hapana.
Swali: Vipi kuhusu watu kukubaliana kufunga siku maalum ambapo mmoja wao akawaambia wengine kuwa atawaamsha katika daku?
Jibu: Sijui ubaya wowote juu ya hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 129
- Imechapishwa: 02/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abi Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali: Vipi watu kufunga swawm ya kujitolea kwa kukubaliana?
Jibu: Hapana.
Swali: Vipi kuhusu watu kukubaliana kufunga siku maalum ambapo mmoja wao akawaambia wengine kuwa atawaamsha katika daku?
Jibu: Sijui ubaya wowote juu ya hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 129
Imechapishwa: 02/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abi Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-swawm-za-makubaliano/