Swali: Vipi watu kufunga swawm ya kujitolea kwa kukubaliana?
Jibu: Hapana.
Swali: Vipi kuhusu watu kukubaliana kufunga siku maalum ambapo mmoja wao akawaambia wengine kuwa atawaamsha katika daku?
Jibu: Sijui ubaya wowote juu ya hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 129
- Imechapishwa: 02/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abi Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)