Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya Tasaabiyh?
Jibu: Wanazuoni wametofautiana kuhusu Hadiyth ya swalah ya Tasaabiyh. Maoni ya sawa ni kwamba si Swahiyh. Ni yenye kupingana na Hadiyth ambazo ni Swahiyh na matini yake ni yenye munkari. Ni yenye kwenda kinyume na Hadiyth Swahiyh zinazotambulika kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika swalah iliyopendekezwa. Nakusudia ile swalah ambayo Allaah amewawekea Shari´ah waja Wake katika Rukuu´, Sujuud yake na vyenginevyo. Kwa ajili hiyo maoni ya sawa ni yale maoni ya waliosema kuwa haikusihi kutokana na tuliyotaja. Jengine ni kwamba cheni za wapokezi wake zote ni dhaifu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/426)
- Imechapishwa: 17/11/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya Tasaabiyh?
Jibu: Wanazuoni wametofautiana kuhusu Hadiyth ya swalah ya Tasaabiyh. Maoni ya sawa ni kwamba si Swahiyh. Ni yenye kupingana na Hadiyth ambazo ni Swahiyh na matini yake ni yenye munkari. Ni yenye kwenda kinyume na Hadiyth Swahiyh zinazotambulika kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika swalah iliyopendekezwa. Nakusudia ile swalah ambayo Allaah amewawekea Shari´ah waja Wake katika Rukuu´, Sujuud yake na vyenginevyo. Kwa ajili hiyo maoni ya sawa ni yale maoni ya waliosema kuwa haikusihi kutokana na tuliyotaja. Jengine ni kwamba cheni za wapokezi wake zote ni dhaifu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/426)
Imechapishwa: 17/11/2021
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-swalaat-ul-tasbiyh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)