Swali 177: Kuna wenye kusema kuwa Saa inayopatikana katika siku ya ijumaa inahamahama kutokana na Hadiyth mbalimbali?
Jibu: Allaah ndiye anayejua zaidi.
Swali 17: Kuhusu Saa ya mwisho siku ya ijumaa – je, kujibiwa du´aa ni maalum kwa wale wanaosubiri swalah au kumeenea?
Jibu: Ni jambo lenye kuenea. Hata hivyo anayesubiri swalah ana haki zaidi kwa mujibu wa Hadiyth nyingine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 75
- Imechapishwa: 04/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 177: Kuna wenye kusema kuwa Saa inayopatikana katika siku ya ijumaa inahamahama kutokana na Hadiyth mbalimbali?
Jibu: Allaah ndiye anayejua zaidi.
Swali 17: Kuhusu Saa ya mwisho siku ya ijumaa – je, kujibiwa du´aa ni maalum kwa wale wanaosubiri swalah au kumeenea?
Jibu: Ni jambo lenye kuenea. Hata hivyo anayesubiri swalah ana haki zaidi kwa mujibu wa Hadiyth nyingine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 75
Imechapishwa: 04/04/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-saa-ya-kuitikiwa-duaa-ijumaa/