Swali 177: Kuna wenye kusema kuwa Saa inayopatikana katika siku ya ijumaa inahamahama kutokana na Hadiyth mbalimbali?
Jibu: Allaah ndiye anayejua zaidi.
Swali 17: Kuhusu Saa ya mwisho siku ya ijumaa – je, kujibiwa du´aa ni maalum kwa wale wanaosubiri swalah au kumeenea?
Jibu: Ni jambo lenye kuenea. Hata hivyo anayesubiri swalah ana haki zaidi kwa mujibu wa Hadiyth nyingine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 75
- Imechapishwa: 04/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)