Swali: Kuhusu kile kinachoitwa ”Chakula cha Ramadhaan” ambapo wanachinja kwa ajili ya wazazi wao na kuuhusisha mwezi huu?
Jibu: Ni mwezi wenye fadhilah.
Swali: Kuhusiana na kuuhusisha mwezi huu maalum kwa kitendo hicho?
Jibu: Si tatizo[1].
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-chakula-cha-ramadhaan/
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 128
- Imechapishwa: 05/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali: Kuhusu kile kinachoitwa ”Chakula cha Ramadhaan” ambapo wanachinja kwa ajili ya wazazi wao na kuuhusisha mwezi huu?
Jibu: Ni mwezi wenye fadhilah.
Swali: Kuhusiana na kuuhusisha mwezi huu maalum kwa kitendo hicho?
Jibu: Si tatizo[1].
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-chakula-cha-ramadhaan/
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 128
Imechapishwa: 05/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-kuchinja-ramadhaan-kwa-ajili-ya-wazazi-wawili/