Swali: Kuhusu kile kinachoitwa ”Chakula cha Ramadhaan” ambapo wanachinja kwa ajili ya wazazi wao na kuuhusisha mwezi huu?
Jibu: Ni mwezi wenye fadhilah.
Swali: Kuhusiana na kuuhusisha mwezi huu maalum kwa kitendo hicho?
Jibu: Si tatizo[1].
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-chakula-cha-ramadhaan/
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 128
- Imechapishwa: 05/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)