Swali: Vipi kuhusu kuwatahiri wanawake?
Jibu: Inapendeza ikiwezekana kwa ambaye ana ujuzi wa hilo.
Swali: Dalili ni ipi ya kuwatahiri wanawake?
Jibu: Kuenea kwa Hadiyth inayosema:
“Mambo ya kimaumbile ni matano; kutahiri, kutoa nywele za sehemu ya siri, kupunguza masharubu, kukata kucha na kunyofoa nywele za kwapani.”
Kuna mapokezi mengine yaliyopokelewa ambayo yanawafanya kuwa maalum kwa jambo hilo.
Swali: Mwanamke anafanyiwa jando hata kama ameshakuwa mkubwa?
Jibu: Ikiwa hakukhofiwi khatari kwa mwanamke mkubwa, basi inamuhusu mwanaume na mwanamke. Lakini ikiwa kunakhofiwa kitu linaachwa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24283/ما-حكم-اختتان-النساء
- Imechapishwa: 23/09/2024
Swali: Vipi kuhusu kuwatahiri wanawake?
Jibu: Inapendeza ikiwezekana kwa ambaye ana ujuzi wa hilo.
Swali: Dalili ni ipi ya kuwatahiri wanawake?
Jibu: Kuenea kwa Hadiyth inayosema:
“Mambo ya kimaumbile ni matano; kutahiri, kutoa nywele za sehemu ya siri, kupunguza masharubu, kukata kucha na kunyofoa nywele za kwapani.”
Kuna mapokezi mengine yaliyopokelewa ambayo yanawafanya kuwa maalum kwa jambo hilo.
Swali: Mwanamke anafanyiwa jando hata kama ameshakuwa mkubwa?
Jibu: Ikiwa hakukhofiwi khatari kwa mwanamke mkubwa, basi inamuhusu mwanaume na mwanamke. Lakini ikiwa kunakhofiwa kitu linaachwa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24283/ما-حكم-اختتان-النساء
Imechapishwa: 23/09/2024
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-jando-kwa-mwanamke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)