Swali: Je, kuna makosa kwa Safar na Salmaan?
Jibu: Ndio. Ndio. Wana mtazamo mbaya kwa watawala na nchi. Wanawachochea vijana na kuwajaza ´Awwaam chuki. Ni katika mfumo wa Khawaarij. Kanda zao zinaashiria hilo.
Swali: Hili linawapelekea katika Bid´ah?
Jibu: Halina shaka juu yake. Hii ni Bid´ah wanayosifika nayo khaswa Khawaarij na Mu´tazilah. Allaah awaongoze. Allaah awaongoze.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alrbanyon.com/vb/showthread.php?t=14607
- Imechapishwa: 23/04/2015
Swali: Je, kuna makosa kwa Safar na Salmaan?
Jibu: Ndio. Ndio. Wana mtazamo mbaya kwa watawala na nchi. Wanawachochea vijana na kuwajaza ´Awwaam chuki. Ni katika mfumo wa Khawaarij. Kanda zao zinaashiria hilo.
Swali: Hili linawapelekea katika Bid´ah?
Jibu: Halina shaka juu yake. Hii ni Bid´ah wanayosifika nayo khaswa Khawaarij na Mu´tazilah. Allaah awaongoze. Allaah awaongoze.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alrbanyon.com/vb/showthread.php?t=14607
Imechapishwa: 23/04/2015
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-kuhusu-bidah-ya-al-awdah-na-al-hawaaliy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)