Swali: Je, kuna makosa kwa Safar na Salmaan?

Jibu: Ndio. Ndio. Wana mtazamo mbaya kwa watawala na nchi. Wanawachochea vijana na kuwajaza ´Awwaam chuki. Ni katika mfumo wa Khawaarij. Kanda zao zinaashiria hilo.

Swali: Hili linawapelekea katika Bid´ah?

Jibu: Halina shaka juu yake. Hii ni Bid´ah wanayosifika nayo khaswa Khawaarij na Mu´tazilah. Allaah awaongoze. Allaah awaongoze.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alrbanyon.com/vb/showthread.php?t=14607
  • Imechapishwa: 23/04/2015