Swali: Nilikuuliza kuhusu hukumu ya mtu kujitolea figo mbele ya Shaykh ´Abdul-´Aziyz al-Qaasim na jawabu yako ilikuwa kwamba hutoi msimamo wowote, mara nyingine – Allaah akuhifadhi – ulisema kuwa hutoi msimamo wowote na kwamba kilicho karibu zaidi na haki ni makatazo. Fatwa hii ilipelekwa shuleni ambapo mwalimu mmoja akaleta karatasi iliyo na nakala kutoka ”al-Majallatu al-´Arabiyyah”aliyoletewa na mwanafunzi mmoja ambayo ilikuwa na fatwa yako inayojuzisha mtu kujitolea figo. Je, unatupa idhini – Allaah akuhifadhi – kukusomea nayo?
Ibn Baaz: Hayo ni maoni ya baadhi ya wajumbe katika baraza.
Mwanafunzi: Ametaja kuwa imetoka kwako.
Ibn Baaz: Hata kama. Mimi najirejea ikiwa kweli imesihi kutoka kwangu.
Mwanafunzi: Nikusomee?
Ibn Baaz: Magazeti hueneza kila kitu.
Mwanafunzi: Kwa hiyo ni kipi unachothibitisha – Allaah akuhifadhi?
Ibn Baaz: Mimi naona kutofaa kujitolea kiungo. Muislamu ni mwenye kuheshimiwa ni mamoja yuko hai au ameshakufa. Hakuna chochote kinachokatwa kutoka kwake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21641/حكم-التبرع-بالكلى-واعضاء-الانسان
- Imechapishwa: 03/09/2022
Swali: Nilikuuliza kuhusu hukumu ya mtu kujitolea figo mbele ya Shaykh ´Abdul-´Aziyz al-Qaasim na jawabu yako ilikuwa kwamba hutoi msimamo wowote, mara nyingine – Allaah akuhifadhi – ulisema kuwa hutoi msimamo wowote na kwamba kilicho karibu zaidi na haki ni makatazo. Fatwa hii ilipelekwa shuleni ambapo mwalimu mmoja akaleta karatasi iliyo na nakala kutoka ”al-Majallatu al-´Arabiyyah”aliyoletewa na mwanafunzi mmoja ambayo ilikuwa na fatwa yako inayojuzisha mtu kujitolea figo. Je, unatupa idhini – Allaah akuhifadhi – kukusomea nayo?
Ibn Baaz: Hayo ni maoni ya baadhi ya wajumbe katika baraza.
Mwanafunzi: Ametaja kuwa imetoka kwako.
Ibn Baaz: Hata kama. Mimi najirejea ikiwa kweli imesihi kutoka kwangu.
Mwanafunzi: Nikusomee?
Ibn Baaz: Magazeti hueneza kila kitu.
Mwanafunzi: Kwa hiyo ni kipi unachothibitisha – Allaah akuhifadhi?
Ibn Baaz: Mimi naona kutofaa kujitolea kiungo. Muislamu ni mwenye kuheshimiwa ni mamoja yuko hai au ameshakufa. Hakuna chochote kinachokatwa kutoka kwake.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21641/حكم-التبرع-بالكلى-واعضاء-الانسان
Imechapishwa: 03/09/2022
https://firqatunnajia.com/ibn-baaz-hajuzishi-mtu-kujitolea-kiungo-kumpa-mgonjwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)