Swali: Unasemaje juu ya mwenye kusema kuhusu Imaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab ya kwamba ni mjinga na sio mwanachuoni na kwamba ameweka misingi ya ujinga?
Jibu: Huyu ni mjinga wa kupindukia. Anastahiki kutiwa adabu.
Swali: Si anaritadi kwa sababu ameyaita mambo ya Tawhiyd kuwa ni ya kijinga?
Jibu: Linatakiwa kukaguliwa vyema. Kumhukumu kuwa ameritadi ni suala linatakiwa kuangaliwa vyema.
Swali: Lakini anatakiwa kushtakiwa kwa mtawala?
Jibu: Ikithibiti basi ni wajibu kwa mtawala kumtia adabu. Yote haya yanajulikana. Aliyeyasema yuko katika mji wa makafiri. Allaah atuongoze sisi na yeye. Allaah awarudishe waweze kutubia.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22928/حكم-من-يتكلم-في-الامام-محمد-بن-عبدالوهاب
- Imechapishwa: 16/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)