Ibn ´Abdil-Wahhaab alikuwa anawapiga vita wenye kuacha swalah?

Swali: Je, Imaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab alikuwa akipigana vita kwa ajili ya kuacha swalah?

Jibu: Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab alikuwa akipigana vita kwa ajili ya kuabudu asiyekuwa Allaah. Ilikuwa ni kwa ajili ya shirki.

Kuhusiana na kwamba alikuwa akipigana vita kwa ajili ya kuacha swalah, mimi sijui hili.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/15216
  • Imechapishwa: 28/06/2020