04- Wanapinga uombezi na kwamba waislamu watenda madhambi watadumishwa Motoni milele
Masuala haya ni miongoni vilevile mwa mambo ambayo Ibaadhiyyah wamewafuata viongozi wao Mu´tazilah. Hoja zao katika hilo hazina mashiko. Ahl-us-Sunnah wameraddi upotevu wao huu kwa yale yaliyotajwa katika Qur-aan na Sunnah. Imaam al-Aajurriy (Rahimahu Allaah) amesema:
“Tambua – Allaah akurehemu – ya kwamba wale wanaopinga uombezi wanadai ya kwamba yule atakayeingia Motoni hatotoka humo. Wanasema uongo kwa madhehebu haya Mu´tazilah… “
Mpaka alipofikia kusema:
“Huu sio mwenendo wa waislamu. Bali huu ni mwenendo wa wale waliopotea kutokamana na njia ya haki na shaytwaan akacheza nao.”
Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Yule mwenye kukadhibisha uombezi basi hana fungu nao.”
- Muhusika: Shaykh ´Abdullaah as-Salafiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ibaadhwiyyah fiy miyzaan Ahl-is-Sunnah, uk.19
- Imechapishwa: 11/02/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)