Swali: Nikimzungumzia rafiki yangu juu ya mtu ambaye hamjui inahesabika ni katika kusengenya?
Jibu: Ndio. Ikiwa anaweza kumjua inakuwa ni katika usengenyi. Ama ikiwa hawezi kumjua… lakini lililo bora ni kusema “kuna baadhi ya watu… “ na wala usisemi “kuna mtu… “. Sema “baadhi ya watu wanafanya kadhaa” na wala usilengi. Kwa sababu ukisema “kuna mtu… “ huenda yule unayemzungumzisha akamtambua.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 06/04/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)