Swali: Huluuliyyah ni watu gani?
Jibu: Huluuliyyah ni wale wenye kuitakidi kuwa Allaah amekita kila mahali na kwamba amekita kwenye viumbe Wake. Bahaa-iyyah vilevile wanaonelea hivo. Wanasema kuwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) amekita kwa kiumbe. Kuna Suufiyyah ambao vilevile wanaitakidi imani hii ya Huluuliyyah. Ni Huluuliyyah wa Suufiyyah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (12) http://alfawzan.af.org.sa/node/2055
- Imechapishwa: 14/03/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)