Swali: Huluuliyyah ni watu gani?
Jibu: Huluuliyyah ni wale wenye kuitakidi kuwa Allaah amekita kila mahali na kwamba amekita kwenye viumbe Wake. Bahaa-iyyah vilevile wanaonelea hivo. Wanasema kuwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) amekita kwa kiumbe. Kuna Suufiyyah ambao vilevile wanaitakidi imani hii ya Huluuliyyah. Ni Huluuliyyah wa Suufiyyah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (12) http://alfawzan.af.org.sa/node/2055
- Imechapishwa: 14/03/2017
Swali: Huluuliyyah ni watu gani?
Jibu: Huluuliyyah ni wale wenye kuitakidi kuwa Allaah amekita kila mahali na kwamba amekita kwenye viumbe Wake. Bahaa-iyyah vilevile wanaonelea hivo. Wanasema kuwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) amekita kwa kiumbe. Kuna Suufiyyah ambao vilevile wanaitakidi imani hii ya Huluuliyyah. Ni Huluuliyyah wa Suufiyyah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (12) http://alfawzan.af.org.sa/node/2055
Imechapishwa: 14/03/2017
https://firqatunnajia.com/huluuliyyah-ni-wepi/