Swali: Ipi hukumu ya kuoa kwa nia ya Talaka kwa mwenye kusafiri au kuishi mwezi au miezi miwili katika mji mwingine?
Jibu: Hili halijuzu. Kuoa kwa nia ya Talaka haijuzu kwa kuwa inashabihiana na Mut´ah. Aoe kwa nia ya kudumu nae. Akiwa mwema adumu nae na kama hakuwa mwema amtaliki. Ama kuoa kwa nia ya Talaka baada ya wakati fulani, hii ndio Mut´ah. Ipi tofauti ya hili na Mut´ah?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12880
- Imechapishwa: 05/03/2018
Swali: Ipi hukumu ya kuoa kwa nia ya Talaka kwa mwenye kusafiri au kuishi mwezi au miezi miwili katika mji mwingine?
Jibu: Hili halijuzu. Kuoa kwa nia ya Talaka haijuzu kwa kuwa inashabihiana na Mut´ah. Aoe kwa nia ya kudumu nae. Akiwa mwema adumu nae na kama hakuwa mwema amtaliki. Ama kuoa kwa nia ya Talaka baada ya wakati fulani, hii ndio Mut´ah. Ipi tofauti ya hili na Mut´ah?
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12880
Imechapishwa: 05/03/2018
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-ndoa-za-muda-kwa-wale-wanaosafiri-kwenda-miji-ya-nje/