Swali: Ipi hukumu ya kuoa kwa nia ya Talaka kwa mwenye kusafiri au kuishi mwezi au miezi miwili katika mji mwingine?
Jibu: Hili halijuzu. Kuoa kwa nia ya Talaka haijuzu kwa kuwa inashabihiana na Mut´ah. Aoe kwa nia ya kudumu nae. Akiwa mwema adumu nae na kama hakuwa mwema amtaliki. Ama kuoa kwa nia ya Talaka baada ya wakati fulani, hii ndio Mut´ah. Ipi tofauti ya hili na Mut´ah?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12880
- Imechapishwa: 05/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket