Swali: Wakati nilipokuwa na gari nilikuwa ni mwenye kuhifadhi swalah zote msikitini. Baada ya hapo nikaiuza. Ni mtu mzee. Hivi sasa amekuwa ni mwenye kuswali nyumbani. Ni ipi hukumu?
Jibu: Hakuna neno. Msikiti ukiwa mbali na anahisi uzito inafaa kwake kuswali nyumbani.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1764
- Imechapishwa: 12/09/2020
Swali: Wakati nilipokuwa na gari nilikuwa ni mwenye kuhifadhi swalah zote msikitini. Baada ya hapo nikaiuza. Ni mtu mzee. Hivi sasa amekuwa ni mwenye kuswali nyumbani. Ni ipi hukumu?
Jibu: Hakuna neno. Msikiti ukiwa mbali na anahisi uzito inafaa kwake kuswali nyumbani.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1764
Imechapishwa: 12/09/2020
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-mzee-kuswali-nyumbani-kwake/