Swali: Ni yapi maoni yako juu ya maimamu wa baadhi ya mapote yaliyopinda wanaosema kuwa wamefika katika ngazi ya yakini na kwa hivyo ´ibaadah sio yenye kuwalazimu?
Jibu: Hii ni kufuru kwa mujibu wa maafikiano ya wanachuoni wote. Mwenye kusema kuwa ´ibaadah zimeanguka kwake anakufuru kwa maafikiano. Isipokuwa ikiwa kama amepatwa na wendawazimu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 122
- Imechapishwa: 14/01/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket