Swali: Ni ipi hukumu kwa ambaye anaamini mawingu?
Jibu: Vipi ataamini mawingu? Mwenye kuamini au kusadikisha nyota kwenye magazeti kuhusiana na matukio na maelezo juu ya mambo yaliyojificha ni mshirikina kafiri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2019%20-%2010-%20-1436.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Ni ipi hukumu kwa ambaye anaamini mawingu?
Jibu: Vipi ataamini mawingu? Mwenye kuamini au kusadikisha nyota kwenye magazeti kuhusiana na matukio na maelezo juu ya mambo yaliyojificha ni mshirikina kafiri.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majd%20-%2019%20-%2010-%20-1436.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-mwenye-kuamini-nyota/