Swali: Anayetumbukia katika jambo la kupindisha maana sifa za Allaah ni katika mambo ya Ijtihaad?
Jibu: Hapana, hapana. Hili ni batili. Huo ni upotofu. Kitendo hicho ni miongoni mwa dini ya Jahmiyyah na Mu´tazilah. Ni ukafiri mkubwa. Kupinga sifa za Allaah ni ukafiri mkubwa. Kwa sababu ni kumkadhibisha Allaah na ni kumkadhibisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ambaye anasema kuwa Allaah hana rehema, hasifiwi utukufu, hasifiwi kuwa na msamaha ni ukafiri mkubwa.
Swali: Vipi ikiwa anazipindisha maana?
Jibu: Yote ni ukafiri mkubwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21526/حكم-التاويل-في-صفات-الله-تعالى
- Imechapishwa: 22/08/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket