Swali: Je, inaruhusiwa kuwatakia makafiri mwaka mpya? Je, inaruhusiwa kupongeza mwaka mpya wa Kiislamu na siku ya mazao ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana, haijuzu kwa sababu matukio hayo hayakuwekwa katika Shari´ah kuyapongeza.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alifta.com/Fatawa/FatawaChapters.aspx?View=Page&BookID=7&PageID=151
- Imechapishwa: 05/10/2020
Swali: Je, inaruhusiwa kuwatakia makafiri mwaka mpya? Je, inaruhusiwa kupongeza mwaka mpya wa Kiislamu na siku ya mazao ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana, haijuzu kwa sababu matukio hayo hayakuwekwa katika Shari´ah kuyapongeza.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alifta.com/Fatawa/FatawaChapters.aspx?View=Page&BookID=7&PageID=151
Imechapishwa: 05/10/2020
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kuwatakia-makafiri-mwaka-mpya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)