Swali: Je, inaruhusiwa kuwatakia makafiri mwaka mpya? Je, inaruhusiwa kupongeza mwaka mpya wa Kiislamu na siku ya mazao ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana, haijuzu kwa sababu matukio hayo hayakuwekwa katika Shari´ah kuyapongeza.
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alifta.com/Fatawa/FatawaChapters.aspx?View=Page&BookID=7&PageID=151
- Imechapishwa: 05/10/2020
Swali: Je, inaruhusiwa kuwatakia makafiri mwaka mpya? Je, inaruhusiwa kupongeza mwaka mpya wa Kiislamu na siku ya mazao ya Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana, haijuzu kwa sababu matukio hayo hayakuwekwa katika Shari´ah kuyapongeza.
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alifta.com/Fatawa/FatawaChapters.aspx?View=Page&BookID=7&PageID=151
Imechapishwa: 05/10/2020
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kuwatakia-makafiri-mwaka-mpya/