Swali: Kuna mtu amechelewesha Zakaat-ul-Fitwr mpaka ukatoka wakati wake kwa kukusudia. Je, ni lazima kuitoa hali ya kuwa ni mwenye kuilipa au inakatika kwake?
Jibu: Hapana, haikatiki kwake. Anatakiwa kuitoa pamoja na kupata madhambi. Aitoe hali ya kuwa ni mwenye kuilipa na anapata madhambi kwa hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-1-24.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014
Swali: Kuna mtu amechelewesha Zakaat-ul-Fitwr mpaka ukatoka wakati wake kwa kukusudia. Je, ni lazima kuitoa hali ya kuwa ni mwenye kuilipa au inakatika kwake?
Jibu: Hapana, haikatiki kwake. Anatakiwa kuitoa pamoja na kupata madhambi. Aitoe hali ya kuwa ni mwenye kuilipa na anapata madhambi kwa hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-1-24.mp3
Imechapishwa: 11/11/2014
https://firqatunnajia.com/hukumu-ya-kukusudia-kuchelewesha-zakaat-ul-fitwr/