Swali: Hizb-ut-Tahriyr wanasema kuwa imani haipandi wala haishuki. Unasema nini juu ya hilo?
Jibu: Hii ni rai ya Murji-ah. Wanasema kuwa imani haipandi wala haishuki. Hii ni rai ya Murji-ah. Hii ni rai chafu na iliyozushwa na tunaomba kinga kwa Allaah. Rai ya Murji-ah ni chafu na ni ya kuzushwa.
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://sahab.net/forums/showthread.php?t=358823
- Imechapishwa: 30/08/2020
Swali: Hizb-ut-Tahriyr wanasema kuwa imani haipandi wala haishuki. Unasema nini juu ya hilo?
Jibu: Hii ni rai ya Murji-ah. Wanasema kuwa imani haipandi wala haishuki. Hii ni rai ya Murji-ah. Hii ni rai chafu na iliyozushwa na tunaomba kinga kwa Allaah. Rai ya Murji-ah ni chafu na ni ya kuzushwa.
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://sahab.net/forums/showthread.php?t=358823
Imechapishwa: 30/08/2020
https://firqatunnajia.com/hizb-ut-tahriyr-ni-murji-ah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)