Swali: Inajuzu kupangusa juu ya Shimaagh na Ghutrah zikifungwa shingoni?
Jibu: Hapana. Sio kilemba ndio maana hafai kupangusa juu yake. Hukumu imefungamana na kile ambacho waarabu wanaita ´kilemba`. Kilemba ni kile kinakuwa kimezungushwa kichwani na kikaonekana kama mnara. Kisha ndio kikafungwa. Hiki ndio kilemba kinachopanguswa juu yake. Ama skafu, Ghutrah na Shimaagh haviitwi ´kilemba`.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 24/10/2016
Swali: Inajuzu kupangusa juu ya Shimaagh na Ghutrah zikifungwa shingoni?
Jibu: Hapana. Sio kilemba ndio maana hafai kupangusa juu yake. Hukumu imefungamana na kile ambacho waarabu wanaita ´kilemba`. Kilemba ni kile kinakuwa kimezungushwa kichwani na kikaonekana kama mnara. Kisha ndio kikafungwa. Hiki ndio kilemba kinachopanguswa juu yake. Ama skafu, Ghutrah na Shimaagh haviitwi ´kilemba`.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
Imechapishwa: 24/10/2016
https://firqatunnajia.com/hivi-ndivyo-vilemba-winavyopanguswa-juu-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)