Mpaka hapa kwa himdi na mafanikio ya Allaah ndio mwisho wa kitabu “al-Mu´taqad as-Swahiyh al-Waajib ´alaa kulli Muslim I´tiqaaduh”. Ninamuomba Allaah (Ta´ala) akijaalie kiwe kimefanywa kwa ajili ya Uso Wake mtukufu, chenye kuafikiana na Sunnah za Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na awanufaishe nacho waislamu wote kwa jumla.
Swalah na salamu zimwendee Mtume wetu Muhammad, watu wa nyumbani kwake wasafi, Maswahabah zake bora na wale watakaowafuata kwa wema hadi siku ya Malipo.
- Mhusika: Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mu´taqad as-Swahiyh, uk. 100
- Imechapishwa: 22/06/2020
Mpaka hapa kwa himdi na mafanikio ya Allaah ndio mwisho wa kitabu “al-Mu´taqad as-Swahiyh al-Waajib ´alaa kulli Muslim I´tiqaaduh”. Ninamuomba Allaah (Ta´ala) akijaalie kiwe kimefanywa kwa ajili ya Uso Wake mtukufu, chenye kuafikiana na Sunnah za Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na awanufaishe nacho waislamu wote kwa jumla.
Swalah na salamu zimwendee Mtume wetu Muhammad, watu wa nyumbani kwake wasafi, Maswahabah zake bora na wale watakaowafuata kwa wema hadi siku ya Malipo.
Mhusika: Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mu´taqad as-Swahiyh, uk. 100
Imechapishwa: 22/06/2020
https://firqatunnajia.com/14-hitimisho-ya-kitabu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)