Muhammad bin Ahmad al-Haddaad amesema: Nilimsikia Mansuur al-Faqiyh akisema:
“Pindi nilipokuwa kwa Abu Zur´ah ad-Dimashqiy kulizungumzwa makhaliyfah ambapo nikauliza: “Je, inafaa mtenda dhambi kuwa wakili?” Akajibu: “Hapana.” Nikauliza: “Inafaa akawa ni msimamizi wa mwanamke?” Akajibu: “Hapana.” Nikauliza: “Inafaa akawa ni khaliyfah?” Akasema: “Ee Abul-Hasan! Haya ni maswali ya Khawaarij.”
Abu Zur´ah alikuwa akimpa dinari mia kila ambaye anahifadhi “al-Mukhtaswar” ya al-Muzaniy. Yeye ndiye ambaye aliingiza madhehebu ya ash-Shaafi´iy Dameski. Maoni yake mara nyingi yalikuwa yakiafiana na maoni ya al-Awzaa´iy.
Alikuwa ni miongoni mwa walaji na alikuwa naweza kula kikapu cha aprikoti na kikapu cha tini.
Alifariki 302 Dameski.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/233)
- Imechapishwa: 05/11/2020
Muhammad bin Ahmad al-Haddaad amesema: Nilimsikia Mansuur al-Faqiyh akisema:
“Pindi nilipokuwa kwa Abu Zur´ah ad-Dimashqiy kulizungumzwa makhaliyfah ambapo nikauliza: “Je, inafaa mtenda dhambi kuwa wakili?” Akajibu: “Hapana.” Nikauliza: “Inafaa akawa ni msimamizi wa mwanamke?” Akajibu: “Hapana.” Nikauliza: “Inafaa akawa ni khaliyfah?” Akasema: “Ee Abul-Hasan! Haya ni maswali ya Khawaarij.”
Abu Zur´ah alikuwa akimpa dinari mia kila ambaye anahifadhi “al-Mukhtaswar” ya al-Muzaniy. Yeye ndiye ambaye aliingiza madhehebu ya ash-Shaafi´iy Dameski. Maoni yake mara nyingi yalikuwa yakiafiana na maoni ya al-Awzaa´iy.
Alikuwa ni miongoni mwa walaji na alikuwa naweza kula kikapu cha aprikoti na kikapu cha tini.
Alifariki 302 Dameski.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Siyar A´laam-in-Nubalaa’ (14/233)
Imechapishwa: 05/11/2020
https://firqatunnajia.com/hivi-ndivo-wanavouliza-khawaarij/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)