Swali: Mtu akimwambia mke wake ndani ya twahara ambayo hakumwingilia “Ukitoka nyumbani basi nimekutaliki”. Akatoka katika twahara aliyomwingilia. Je, Talaka hii ni ya ki-Sunnah au ya ki-Bid´ah?
Jibu: Hukumu imefungamana na ule wakati wa kutokea jambo. Hii ni Talaka ya ki-Bid´ah kwa sura kama hii.
Lakini lau angelisema kumwambia “Ukitwaharika na halafu nikakwingilia nimekutaliki [ikiwa utatoka nyumbani]”, katika sura hii atakuwa ameifungamanisha na Talaka ya ki-Bid´ah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-5-9.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Mtu akimwambia mke wake ndani ya twahara ambayo hakumwingilia “Ukitoka nyumbani basi nimekutaliki”. Akatoka katika twahara aliyomwingilia. Je, Talaka hii ni ya ki-Sunnah au ya ki-Bid´ah?
Jibu: Hukumu imefungamana na ule wakati wa kutokea jambo. Hii ni Talaka ya ki-Bid´ah kwa sura kama hii.
Lakini lau angelisema kumwambia “Ukitwaharika na halafu nikakwingilia nimekutaliki [ikiwa utatoka nyumbani]”, katika sura hii atakuwa ameifungamanisha na Talaka ya ki-Bid´ah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1430-5-9.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/hii-ni-talaka-ya-ki-sunnah-au-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)