Swali: Kuna mwandishi mmoja amedai kuwa mchanganyiko unajuzu na ametumia dalili kutoka kwa wanawake kwenda vitani pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Jibu: Hawakuchanganyika na wanaume. Wametoka pasina kupigana pia. Walikuwa wanatoka kwenda Hajj, kutatafuta riziki na kadhalika. Lakini hawakuwa wanachanganyika na wanaume. Walikuwa upande huu na wanaume upande mwingine ilihali amejisitiri na Hijaab.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (60) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mokh_2_1_1433.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Kuna mwandishi mmoja amedai kuwa mchanganyiko unajuzu na ametumia dalili kutoka kwa wanawake kwenda vitani pamoja na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Jibu: Hawakuchanganyika na wanaume. Wametoka pasina kupigana pia. Walikuwa wanatoka kwenda Hajj, kutatafuta riziki na kadhalika. Lakini hawakuwa wanachanganyika na wanaume. Walikuwa upande huu na wanaume upande mwingine ilihali amejisitiri na Hijaab.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (60) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mokh_2_1_1433.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/hii-ni-dalili-inayojuzisha-mchanganyiko/