Swali: Muadhini anaadhini adhaana ya Dhuhr na mimi niko darasani. Ni lipi bora kwangu; kumuitikia muadhini au kufuatilia darsa?
Jibu: Fuatilia darsa ili lisikupite na ukafikwa na upungufu katika elimu. Kwa kuwa uko mashghuli.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (60) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mokh_2_1_1433.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Muadhini anaadhini adhaana ya Dhuhr na mimi niko darasani. Ni lipi bora kwangu; kumuitikia muadhini au kufuatilia darsa?
Jibu: Fuatilia darsa ili lisikupite na ukafikwa na upungufu katika elimu. Kwa kuwa uko mashghuli.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (60) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mokh_2_1_1433.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kumuitikia-muadhini-wakati-wa-darsa-02/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)