Muhammad Swaalih al-Munajjid anasema katika kitabu chake “Arba’uun Nasiyhah li Islaah-ul-Buyuut, uk. 23-25.”:
Vile vile, kuna vitabu zaidi juu ya mada zingine. Hii ni pamoja na vitabu vya profesa Sayyid Qutwub (Rahimahu Allaah) kama al-Mustaqbal li Haadha ad-Diyn, Haadha ad-Diyn, Ma’aalim fiyt-Twariyq na Khasaaisw at-Tasawwur al-Islaamiy.
Hali kadhalika vitabu vya profesa Muhammad Qutwub, kama kwa mfano wa Manhaj at-Tarbiyah al-Islaamiyyah, Waaqi’unaa al-Mu’aasir, Ruqyah Islaamiyyah fiy Ahwaal al-Aalam al-Mu’aasir, Qabsaat min ar-Rasuul, Ma’rakat-ut-Taqliyd, Hal Nahnu Muslimuun, Jaahiliyyah al-Qarn al-‘Ishriyn na Madhaahib al-Fikriyyah al-Mu’aaswarah.
Vitabu kama hivyo vimeandikwa pia na profesa Abul-A´laa al-Mawduudiy. Katika hivyo ni Tafsiyr Suurah an-Nuur, al-Hijaab na al-Jihaad.
Vile vile, profesa Abul-Hasan-Nadwiy. Katika hivyo ni Maadha khasira al-‘Aalam bi Inhitaat-il-Muslimiyn na as-Siyraa´ bayn al-Fikrah al-Islaamiyyah wal-Fikrah al-Gharbiyyah.
- Muhusika: Shaykh Abu Ibraahiym bin Sultwaan al-´Adnaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Qutwbiyyah, uk. 156
- Imechapishwa: 28/07/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)