Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
29- Mu’aadh bin Jabal (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nilisema: “Ee Mtume! Nieleze kitendo ambacho kitanipelekea kuingia Peponi na kitanikinga na Moto… “
Hapa kuna mafunzo ya kuwa na adabu kwa wanachuoni. Kwa sababu Mu´aadh bin Jabal (Radhiya Allaahu ´anh) ndiye mtu ambaye ni mjuzi zaidi wa Ummah huu wa ya halali na ya haramu. Mu´aadh ni katika wanachuoni. Hii ni dalili inayoonesha ya kuwa inatakiwa kwa mwanafunzi awe ni mwenye kupupia juu ya yale yenye kumkukurubisha na Pepo na kumuweka mbali na Moto.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 402
- Imechapishwa: 13/05/2020
Imaam an-Nawawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
29- Mu’aadh bin Jabal (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nilisema: “Ee Mtume! Nieleze kitendo ambacho kitanipelekea kuingia Peponi na kitanikinga na Moto… ”
Hapa kuna mafunzo ya kuwa na adabu kwa wanachuoni. Kwa sababu Mu´aadh bin Jabal (Radhiya Allaahu ´anh) ndiye mtu ambaye ni mjuzi zaidi wa Ummah huu wa ya halali na ya haramu. Mu´aadh ni katika wanachuoni. Hii ni dalili inayoonesha ya kuwa inatakiwa kwa mwanafunzi awe ni mwenye kupupia juu ya yale yenye kumkukurubisha na Pepo na kumuweka mbali na Moto.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh al-Arba´iyn an-Nawawiyyah, uk. 402
Imechapishwa: 13/05/2020
https://firqatunnajia.com/hii-ndio-inatakiwa-iwe-pupa-ya-mwanafunzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)