Swali: Katikati ya swalah mlio wa simu unadunbwiza muziki. Baada ya swalah anasimama mmoja wa waswaliji na anamkemea aliyefanya hivo kwa sauti ya juu. Je, kitendo hichi kinakubalika katika Shari´ah?
Jibu: Kitendo kipi unachoulizia; mlio wa simu au yule aliyemkaripia?
Muulizaji: Yule aliyemkemea.
Jibu: Ndio. Ni kwa nini asizime simu na anaiweka mlio wa muziki na kuwashawishi wenye kuswali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)