Swali: Kuna hekima gani ya kukatazwa kuingiza vidole vya kulia ndani ya vidole vya kushoto?
Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi. ash-Shawkaniy ametaja kwamba imesemekana ni aina ya upuuzi. Wengine wakasema kwamba ni kitendo cha shaytwaan, lakini maoni hayo yanahitaji dalili.
Swali: Je, sababu ni kwamba mtu huyo yuko ndani ya swalah?
Jibu: Anapokuwa anatoka kwenda kuswali, anachukuliwa kama yuko ndani ya swalah… Ni jambo lisiloendana na swalah. Si jambo la ajabu kwamba hekima ya hili haipaswi kujulikana kila wakati, lakini mtu analazimika kutii hata kama hajui hekima yake.
Swali: Lakini si kuna masimulizi yanayosema:
“Yuko ndani ya swalah.”?
Jibu: Ndiyo, inamaanisha kuwa pale anapokuwa anatoka. Kwa hivyo ikafahamisha kuwa asifanye hivo ndani ya swalah. Kuhusu hekima ya kukatazwa ni kwa sababu ya upuuzi au ni kitendo cha sahytwaan? Hakuna ishara ya upuuzi wa moja kwa moja, kama ilivyosemwa. Lakini Shari´ah inajua zaidi na ni yenye hekima.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24866/الحكمة-من-النهي-عن-تشبيك-الاصابع-عند-الخروج-الى-الصلاة
- Imechapishwa: 02/01/2025
Swali: Kuna hekima gani ya kukatazwa kuingiza vidole vya kulia ndani ya vidole vya kushoto?
Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi. ash-Shawkaniy ametaja kwamba imesemekana ni aina ya upuuzi. Wengine wakasema kwamba ni kitendo cha shaytwaan, lakini maoni hayo yanahitaji dalili.
Swali: Je, sababu ni kwamba mtu huyo yuko ndani ya swalah?
Jibu: Anapokuwa anatoka kwenda kuswali, anachukuliwa kama yuko ndani ya swalah… Ni jambo lisiloendana na swalah. Si jambo la ajabu kwamba hekima ya hili haipaswi kujulikana kila wakati, lakini mtu analazimika kutii hata kama hajui hekima yake.
Swali: Lakini si kuna masimulizi yanayosema:
“Yuko ndani ya swalah.”?
Jibu: Ndiyo, inamaanisha kuwa pale anapokuwa anatoka. Kwa hivyo ikafahamisha kuwa asifanye hivo ndani ya swalah. Kuhusu hekima ya kukatazwa ni kwa sababu ya upuuzi au ni kitendo cha sahytwaan? Hakuna ishara ya upuuzi wa moja kwa moja, kama ilivyosemwa. Lakini Shari´ah inajua zaidi na ni yenye hekima.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24866/الحكمة-من-النهي-عن-تشبيك-الاصابع-عند-الخروج-الى-الصلاة
Imechapishwa: 02/01/2025
https://firqatunnajia.com/hekima-ya-kukatazwa-kuingia-vidole-vya-kulia-ndani-ya-vidole-vya-kushoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)